I knew she had a thing for younger men.Kim's mum Kris Jenner is reportedly dating a man 27 ears younger(She looks good though)See how Dailymail reports
    They can deny all they want that they're dating, but Kris Jenner and Ben Flajnik are certainly doing nothing to douse the flames by being photographed constantly in each other's company.
    On Friday, the 57-year-old mother-of-six treated Ben to a shopping spree at Barney's in Los Angeles, before hopping on a flight to Las Vegas to celebrate daughter Kim Kardashian's 33rd birthday.The former Bachelor star - who incidentally is four years younger than Kris's eldest child, Kourtney, 34 - looked in desperate need of a wardrobe makeover in his ill-fitting blue jeans, which were tucked into clearly well-loved brown boots, a scruffy grey shirt and dark brown leather jacket.
    See Another photo below:



    These days, you aren't a real Celeb until everyone's seen you naked.
    Big Brother – The Chase 2013 winner Dillish Matthews recently decided to show off her body by posting a few unclad photos of herself on Instagram.
    At least she left some things to the imagination.




    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Juma Khamis amesema baadhi ya viongozi ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa, wameshindwa kutekeleza wajibu wao.
    Amesema wajibu huo  ni pamoja na  kushindwa kutatua kero za madaktari na kusababisha kuzorota kwa huduma za afya visiwani humo. Sadifa aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara  katika Uwanja wa Vuga katika Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja.
    “Serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa kumhudumia kwa matibabu, Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharrif Hamad, itakumbukwa aliwahi kuwaahidi wananchi wa Zanzibar kuwa akiwa kiongozi atahakikisha anatibiwa hapa hapa badala ya kusafirishwa nje ya nchi,” alisema.
    Wabara waishio Zanzibar
    Kiongozi huyo wa UVCCM, alisema watu wa Tanzania Bara wanaoishi Zanzibar, si wakimbizi kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
    Sadifa alisema wapinzani wanaohoji uhalali wa watu hao kuishi na kufanya kazi Zanzibar, hawafahamu haki ya  kila mtu kikatiba kwa maana ya kuwa huru kuishi na kufanya kazi katika sehemu yoyote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alisema ibara ya 11 na 26 ya katiba imeweka wazi kwa kila Mtanzania ana haki ya kuishi sehemu atakayo ndani ya Jamhuri ya Muungano.
    Huku akishangiliwa na wanachama wa CCM alisema sera za ubaguzi hazitasaidia kujenga amani na umoja wa kitaifa baada ya kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Novemba mwaka 2010.
    Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, alisema umoja huo umeamua kuchunguza kikundi cha watu wenye asili ya India ambao wamekuwa wakipinga misingi ya Mapinduzi na  Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
    Alisema ni jambo la kushangaza kuona watu hao wakiwa katika mstari wa mbele kuhoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati hakuna muafrika anayeweza kwenda kuhoji uhalali wa harakati za ukombozi wa India au Iran kama hali ilivyojitokeza visiwani Zanzibar.
    Alisema kitendo hicho hakikubaliki.


    Mwananchi.




    Dar es Salaam. Serikali ya Kenya imesema haina fedha kwaajili ya kuandaa Michuano ya Chalenji ya mwaka huu ambayo imepangwa kupigwa Novemba 27 hadi Desemba 12 Nairobi,Kenya.
    Tamko hilo ni pigo zito waandaaaji wa michuano hiyo ambao ni Baraza la Vyama vya Soka la Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) lililo chini ya Rais Leodegar Tenga na Katibu Mkuu wake Nicholas Musonye.
    Awali, Mwenyekiti wa Shirikisho la Soka Kenya(FKF), Sam Nyamweya alitangaza kuwa,michuano hiyo itaandaliwa kwa ushirikiano wa pamoja kati ya shirikisho lake na Serikali ya nchi hiyo.
    Katibu wa Baraza la Michezo la Kenya,Hassani Wario alisema, Serikali yake haitashiriki katika kuandaa michuano hiyo kutokana na ufinyu wa bajeti yake  kwa sasa.
    “Kuandaa tukio kama hili kunahitaji fedha nyingi ambazo Serikali haina kwa wakati huu.
    “Ni lazima tuwe wa kweli, hatuwezi kuungana na FKF na kudhamini mashindano hayo kwasababu  hatuna bajeti kwaajili hiyo,”alisema Waria na kuongeza:
    “Kuna vyama vingine ambavyo vinahitahi fedha kama ilivyo soka, kuogelea, wavu na hata Hockey, ni vigumu kujikita katika soka tu.
    Hata hivyo, Musonye akizungumza na Mwananchi alisema:
    “Tumeamua na ni lazima michuano hii ifanyike Kenya.
    “Tunatafuta   wadhamini wengine, lakini ninachoweza kukuhakikishia ni kwamba mashindano yatafanyika hapa na hayawezi kuhamishiwa sehemu nyingine.
    Mara ya mwisho Kenya iliandaa michuano ya Chalenji mwaka 2009 ambapo Uganda ilifanikiwa kutwaa ubingwa.

    Mwananchi.


    Kevin Boateng is an injury doubt against Dortmund
    Schalke manager Jens Keller is worried about the health of Kevin-Prince Boateng ahead of their Bundelisga derby against Borussia Dortmund on Saturday.

    The 26-year-old played through the pain barrier after lasting 70 minutes on the pitch as the German side lost 3-0 at home to Chelsea in the Uefa Champions League on Tuesday.

    The Ghanaian international is now racing to be fully fit after he struggled in the game against the Blues.
    Schalke manager Jens Keller has revealed he is unsure about risking him against their rivals.
    “”He has not trained a few weeks, is not in top condition. At half-time he told me that it is flat and can only play a quarter of an hour. ” Keller said Boateng has played eight out of ten official matches so far this season.

    Via: GhanaSoccerNet


    I really don't know why political office holders in Nigeria are so wicked and heartless. Really sad!

    The most powerful President in the world, Barrack Obama, rides in a 2012 Cadilac DTS worth $300,000 but in Nigeria, a country that is ravaged by poverty and lack of jobs for graduates, a minister in the government of President Goodluck Jonathan acquired two cars worth $1.6million.

    The first claim is that it is meant for her security..... The second is that it would be used to carry visiting VIPs.

    Is this not a real life definition of insanity?


Top